Fahamu Mbegu mpya bora kabisa za Nyanya



Kutokana na wimbi la wakulima wengi kukumbana na janga la kuuziwa mbegu Feki, au zilizokwisha muda wake (Expiry) . KILIMO FOR LIFE inasaidia
, Kujuza, Kuelekeza, kuonesha na kufahamisha mbegu bora kulingana na soko letu Nchini.

HIZI NI MBEGU BORA ZA NYANYA KWA WAKATI HUU.

BONYEZA HAPA KUNUNUA FOMULA ZA MBOLEA KWENYE MAZAO 




Na Mr Mpinga +255 757 139 423

CONTINENTAL COMMANDO F1

Umbo mshumaa na ganda gumu.
Inastahimili joto na baridi
Inastahimili mvuwa
Inastahimili mnyauko
Huvunwa miezi 3 hadi 4

CONTINENTAL RANGER F1


Inazaa kwa miezi mitano mfululizo
Umbo mshumaa
Saizi ya wastani
Inastahimili joto kali
Ni mahsusi kukabiliana na mnyauko


CONTINENTAL SIFA F1

Umbo na saizi kubwa zaidi
inastahimili joto, baridi na mvuwa nyingi.
Ina zaa muda mrefu miezi 4
Ina ngozi ngumu

CONTINENTAL STEVE F1

Hii ni mbegu inayorefuka zaidi
Huvunwa miezi nane mfululizo katika green house.
Inalimwa zaidi kwenye green house, na nje  pia.
Ina umbo la mshumaa
Hustahimili baridi na joto

WASILIANA NAMI KUHUSU KUPATA MBEGU BORA NA KILIMO CHA MAZAO YOTE.



+255 757 139 423
+255 717 439 423 MR MPINGA AGRONOMIST

INSTAGRAM: Mr Mpinga 
FACEBOOK: ABBAS MPINGA


Maoni

  1. Samahani Mkuu,naomba muongozo kuhusu kilimo cha Hoho.Kwa sasa nimesia mbegu ya Yolo Wonder,naomba maelekezo ya kitaalamu ili nipate mavuno mazuri.
    Ahsante na samahani Kwa usumbufu,jibu lako muhimu na ninalisubiria.
    Wako mdau
    Ally Ally
    Mobile: 0621095965/WhatsApp
    Moshi-Tanzania

    JibuFuta
    Majibu
    1. Humuhumu katika blog kuna MUONGOZO wa kilimo cha hoho

      Futa

Chapisha Maoni

Machapisho Maarufu